LATEST ARTICLES

Habari za Simba

GEOFF LEA:- KIWANGO CHA KIBU KIMESHUKA MNOOO….HASTAHILI KUIDENGULIA SIMBA…

0
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia EFM, Kamanda Geoff Lea anasema kiwango cha Kibu Dennis kimeshuka tangu ajiunge na Simba SC akitokea Mbeya...
Habari za Simba

JEMEDARI :- KUNA KLABU WANATAKA KUMSAJILI KIBU BUREEE NDIO MAANA ANAIDENGULIA SIMBA..

0
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba KIBU DENIS PROSPER amekuwa akikacha kuongeza mkataba wake na Simba SC ambao unaisha mwisho wa msimu huu. Viongozi...
Habari za Simba leo

KUHUSU BENCHIKHA KUSEPA SIMBA….UKWELI USIOJULIKANA HUU HAPA…ALIANZA KUKATA TAMAA…

0
Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna...
Habari za Simba leo

AHMED ALLY AGEUKA MBOGO ATEMA CHECHE HIZI KIBABE…AMEFUNGUKA HAYA

0
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema, hakuna mcahezaji wanayemtaka abaki kwenye klabu yao ambaye watashindwa kumbakisha. Kauli hiyo imekuja ikiwa...
Habari za Simba leo

SHAFFIH DAUDA AINGILIA KATI ISHU YA KIBU…KUMBE SIMBA WAMEFELI HAPA

0
Nimeona na kusikia mjadala unaomuhusu Kibu Denis kuhusu thamani yake ya sasa ambapo mkataba wake na Simba umebakiza siku chache kumalizika. Watu wengi wanasema Kibu...
Habari za Simba leo

KUHUSU ISHU YA KIBU DENIS NA SIMBA…KUMBE HUYU NDIO ANAYEVURUGA

0
Pichani ni Carlos Sylvester , Agent wa wachezaji mbalimbali kwenye ligi yetu akiwa na viongozi wa Timu za Simba na Yanga. Pale Yanga anawasimamia wachezaji...
Habari za Yanga leo

MCHAMBUZI: YANGA KULA MKWANJA MNENE KWA AZIZ KI…ISHU NZIMA IPO HIVI A-Z

0
Kwa umri wa Gaucho Aziz Ki wa miaka 28 simuoni akicheza misimu miwili au mitatu zaidi hapa katika vile viunga vya Jangwani. Kwa ubora alionao...
Habari za Simba leo

HUYU HAPA MRITHI WA BENCHIKAH SIMBA…KUMBE WALIFANYA KAZI NA KOCHA WA YANGA

0
Taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa Klabu ya Simba SC huenda ikampa kipaumbele Kocha Omar Najhi (wa pili kutoka kushoto) kuwa Kocha wao Mkuu akirithi pahala...
Habari za Simba leo

YANGA KUMSAJILI MSHAMBULIAJI HUYU SIMBA…AHMED ALLY AVUNJA UKIMYA

0
Wakati sakata la Mshambuliaji Kibu Denis kugoma kusaini mkataba mpya Simba SC likiendelea kuchukua nafasi kubwa katika Mitandao ya Kijamii, Meneja Habari na Mawasilino...
KUMBE YANGA WATUMIA MBINU HII KUFANYA USAJILI...RAIS AFUNGUKA KILA KITU A-Z

AISEE!! YANGA YAFANYA MAAMUZI HAYA MAGUMU…FAILI ZIMA HILI HAPA

0
Kwa mujibu wa almachiuskanyasi Klabu ya Young Sports Club ilikwishaanza Mazungumzo ya kuwaongezea Kandarasi baadhi inatamatika na wanahitajika klabuni Wachezaji hao ambao Mikataba yao. Farid...