Trending Stories
View All
YANGA YAWEKA KAMBI SOKONI, WAKABAJI KIPAUMBELE KIKUBWA
KLABU ya Yanga imeendelea kuathiriwa na pengo lililoachwa na kiungo mkabaji Khalid Aucho baada ya kuondoka na kujiunga na Singida…
KASSALI AWEKA PRESHA, CAMARA ASUBIRI HATIMA YAKE SIMBA
HATMA ya kipa wa Simba, Moussa Camara, kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho baada ya msimu huu bado haijajulikana, huku…
KAIZA CHIEFS WAVAMIA MSIMBAZI KWA KIUNGO
UONGOZI wa Simba umejikuta katika vita ya usajili na klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, baada ya timu hiyo…
BOSI SIMBA AWEKA WAZI MSIMAMO WA KLABU KUHUSU NYOTA WA YANGA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crescentius Magori, amefunguka kuhusu falsafa ya usajili ndani ya klabu hiyo, akisisitiza kuwa…
MTAA UMEVAMIWA NA NGUVU YA BOOKS OF EGYPT
Kuna michezo inayochezwa, na kuna michezo inayotengeneza gumzo. Books of Egypt ni moja ya michezo hiyo. Kupitia Meridianbet, mchezo huu umevutia…
DAVIDO KUTUMBUIZA KOMBE LA DUNIA
Mwanamuziki Davido amethibitishwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la awali la kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026,…
MALINDI YAKUBALI YAISHE LIGI KUU ZANZIBAR
MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati…
KATWILA ASIMULIA MAZITO CHAMPIONSHIP
WAKATI Geita Gold ikisaka pointi tatu pekee kurejea tena Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Zuberi Katwila amesema hataisahau…
MTIHANI WA CHOLE MVP WA AFCON U17
MICHUANO ya Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U17), imefikia tamati Juni 2, 2026, huku ikishuhudiwa…
NANI MBABE KOMBE LA DUNIA 2026
Joto linazidi kuongezeka kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kule Mexico, Canada na U.S.A. Kila timu imejipanga kufanya vyema. Lakini…
YAMAL HATAKI KUFANANISHWA NA RONALDO NA MESSI
LONDON ENGLAND: Mkongwe na mshindi mara nane wa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka Lionel Messi hana shaka hata kidogo.…
TAIFA STARS YAPATA PIGO MOROCCO
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepata pigo baada ya kufutwa kwa ratiba ya michezo yake ya kirafiki ya…
WABUNGE WALIOSAFIRI MOROCCO BILA KIBALI, ZUNGU AWAPA SIKU NNE WAJIELEZE
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ametoa siku nne kwa wabunge waliokwenda Morocco bila kibali cha Spika wajieleze huku…
NYUMA YA YANGA KWA ALAMA MBILI, BARKER BADO ANAAMINI SIMBA KUTWAA UBINGWA
LICHA ya Simba kujikuta nyuma kwa alama mbili dhidi ya Yanga katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha Mkuu…
HAKUNA KISINGIZIO YANGA WOTE WAPO VITANI
KLABU ya Yanga imeendelea na maandalizi yake kuelekea hatua za mwisho za msimu, huku ikieleza kuwa kikosi chake kiko katika…
PACOME AKIWA FITI, YANGA YAONGEZA KASI YA UWINDAJI WA MAKOMBE
YANGA imepata habari njema kuelekea hatua za mwisho za msimu baada ya kiungo mshambuliaji wake tegemeo, Pacôme Zouzoua, kurejea mazoezini…