LATEST ARTICLES

Habari za Simba leo

AHMED ALLY:- HATA TUKICHEZA NA TIMU NDOGO LAZIMA TUFUNGWE…MAKOSA YANAJIRUDIA..AMEFUNGUKA HAYA

0
Meneja wa Habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha makasiriko na badala yake waungane Pamoja kuisaidie timu...
Habari za Yanga leo

KUMBE STAA HUYU YANGA..ALIKUWA ANALIPWA LAKI SITA TU…APANDISHIWA HADI 12M

0
Kwa kipindi cha hivi karibuni Ligi yetu imekuwa na ubora mkubwa hasa baada ya klabu mbili za Simba na Yanga kuanza kufanya vizuri kwenye...
Habarii za Yanga leo

BOSI YANGA AWAGEUKIA MASHABIKI…”HUWEZI KUSEMA TUMESHINDA…VIONGOZI WA MATAWI KIKAANGONI

0
Mechi dhidi ya Simba Jumamosi ni fainali ya ubingwa wao kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Rodgers Gumbo. Amesisitiza kwamba kama...
Habari za Simba leo

KUMBE SIMBA YAONDOKA DAR…YAELEKEA KULEKULE…YANGA WAJIANDAE

0
Kikosi cha Simba, chini ya Kocha Abdelhak Benchikha kinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kambi ya siku tatu kujiandaa na mchezo wa...
SHABIKI SIMBA:- HATUWEZI KUIFUNGA YANGA...TUNAKWENDA KUDHALILIKA...TUTAKULA KIPIGO KIZITO

SHABIKI SIMBA:- HATUWEZI KUIFUNGA YANGA…TUNAKWENDA KUDHALILIKA…TUTAKULA KIPIGO KIZITO

0
Shabiki kindakindaki wa Klabu ya Simba, Mzee Mchachu amesema kuwa hatokwenda kwenye mchezo wa dabi dhidi ya watani zao Yanga Sc kwani anaamini kabisa...
Habari za Michezo leo

ALLY KAMWE:- MECHI YETU NA SIMBA TUMEIITA WAZEE DAY…AMEFUNGUKA HAYA

0
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema wameliita pambano lao na Simba SC jina la Wazee Day. Yanga SC wamekuwa...
Habari za Simba leo

VIFAA VIPYA MSIMBAZI HIVI HAPA…..NI MASHINE ZA KAZI HASWA….BENCHIKHA APIGA TIKI….

0
WAKATI Simba ikijiandaa kwa ajili ya Derby dhidi ya Yanga Aprili 20, mwaka huu uwanja wa Benjamin Mkapa, uongozi wa Simba umeanza kuingia chimbo...
Habari za Yanga leo

ALLY KAMWE:- SIMBA NI TIMU TISHIO KWETU….WANAWACHEZAJI WENGI WAZOEFU…

0
MSEMAJI wa Yanga Ali Kamwe amesema licha ya kupitia kipindi kigumu cha Simba, lakini wanaitazama timu hiyo katika mambo matatu muhimu kuelekea mchezo wa...
Habari za Simba leo

KUELEKEA ‘KARIKAOO DERBY’…BENCHIKHA AWAPA KISOMO MASTAA WOTE SIMBA…

0
KUELEKEA mchezo wa Kariakoo Derby, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefanya kikao kizito na wachezaji wake kwa kuyaweka mambo sawa kabla ya Aprili...
Gazeti la Mwanaspoti

YANGA vs SIMBA :- POINTI 3 TATA HIZI HAPA…MAKOCHA WATABIRI SAPRAIZI…

0
Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanaspoti la leo Jumatatu ya 16/4/2024 kama lilivyochapishwa na kusambazwa na MCL.