LATEST ARTICLES
KUELEKEA DABI LEO….JULIO AFUNGUKA ALIVYOIKOA SIMBA NA AIBU…”NILIMFUKUZA MATOLA”….
Unaikumbuka ile #KariakooDerby ya Oktoba 2013 iliyomalizika kwa sare ya 3-3? Aliyekuwa Kocha Msaidizi wakati huo, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amefunguka namna alivyochimba ‘biti’ wakati...
KAPOMBE:- LEO KAZI NI MBILI TU…
Beki wa kulia wa timu ya Simba, Shomari Kapombe amesema kuwa wamejiandaaa vizuri kwa ajili ya mchezo wao wa dabi dhidi ya watani zao...
BAADA YA KINA FREDDY NA JOBE ‘KUFELI’ JE CHAMA KUMBEBA BENCHIKHA LEO…?
Ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha kuna mitambo mingi ya mabao lakini kwa sasa namba moja ni Clatous Chama.
Ipo...
KUELEKEA DABI LEO….GAMONDI ATAJA SILAHA ATAKAYOITUMIA KUIMALIZA SIMBA MAPEMA…
Kocha wa Klabu ya Yanga, Miguel Gamondi amesema kuwa falsafa yake anaamini kutumia viungo zaidi kwenye mechi zake kwani ndiyo eneo linaloamua mchezo uchezweje.
Gamondi...
KUELEKEA MECHI YA LEO…NABI, ROBERTINHO WATAJA MSHINDI…
Jumamosi leo ni Dabi. Yanga ambayo ndio wenyeji wa mchezo huu,misimu miwili nyuma ilikuwa ikiongozwa na kocha Nasreddine Nabi kabla ya kuja kwa Miguel...
UHURU SELEMAN:- MNAMPAMBA LOMALISA NI BEKI WA KAWAIDA SANA…MADOGO ACHENI USELA
Mchezaji wa zamani Klabu ya Simba, Uhuru Seleman Mwambungu amesema kuwa beki wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa ni beki wa kawaida sana tofauti...
AZAM FC YAVUTA KITASA HICHI KIPYA…KWA BEKI HUYU MJIPANGE…ATAMBA MASHINDANO YA CHAN
Azam FC imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa kimataifa wa Mali, Yoro Mamadou Diaby, kutoka Kituo cha Soka cha Yeleen Olympique cha nchini humo.
Mlinzi...
WAKILI YANGA:- “SIMBA INA WACHEZAJI WALIOZOEA KUMKABA RONALDO…AMEFUNGUKA HAYA
Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga, Wakili Simon Patrick amewataka mashabiki wa timu hiyo wasiwachukulie poa watani zao Simba Sc kwani wana kikosi bora licha...
MSECHU:- SIMBA WAKIIFUNGA YANGA MNITTE PENDO…AWAPA TAHADHARI HII MASHABIKI WA MSIMBAZI
Msanii wa Bongo Fleva na msanii maarufu wa Bongo Fleva, Peter Msechu amesema kuwa iwapo kikosi cha Yanga kitafungwa kesho dhidi ya watani wao...
YANGA ;- SIMBA NI KLABU TAJIRI ZAIDI….WANAMCHEZAJI ALIYEMKABA RONALDO….
Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga, Wakili Simon Patrick amewataka mashabiki wa timu hiyo wasiwachukulie poa watani zao Simba Sc kwani wana kikosi bora licha...